KAGERE AMEKUMBUKA MPIRA, CORONA YAMFANYA ASHINDE NDANI
MEDDIE Kagere, mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa hakuna anachokifanya nchini Rwanda zaidi ya kujifungia ndani kuchukua tahadhari dhidi…
MEDDIE Kagere, mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa hakuna anachokifanya nchini Rwanda zaidi ya kujifungia ndani kuchukua tahadhari dhidi…
NAHODHA wa PSG, Thiago Emiliano da Silva amesema kuwa wameshinda ubingwa wa maajabu ambao ni mali ya madaktari dunia nzima.PSG walitangazwa kuwa mabingwa wa Ufaransa,…
BADO mambo hajawa shwari kwa sasa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kusambaa kwa kasi duniani huku shughuli nyingi zikiwa zimesimamishwa. Timu…
MAKOCHA watatu tayari washapita ndani ya Arsenal ambayo bado haijakaa sawa kwenye mahesabu ya kutwaa taji la Ligi Kuu England.Bosi mkubwa Arsene Wenger alidumu miaka…
MIONGONI mwa wazawa ambao wana urafiki na nyavu ni ndani ya Ligi Kuu Bara ni pamoja na Wazir Jr anayekipiga ndani ya Mbao FC.Mbao FC…
BEKI wa kulia wa Yanga, ambaye ni nahodha msaidizi, Juma Abdul, ameupongeza uongozi wa timu hiyo katika harakati zake za kutaka kuwasajili Relliants Lusajo ambaye…
MUSSA Mohamed, beki anayekipiga ndani ya Klabu ya Nkana FC ambaye amesema kuwa amezungumza na mabosi wa Yanga juu ya kusaini dili la kujiunga na…
KUTOKANA na janga la Virusi vya Corona kwenye ulimwengu wa soka kuna nchi ambazo zimefuta msimu wa 2019/20.Miongoni mwa hizo ni pamoja naUganda Kenya Liberia Angola SeychellesEhiopia Ufaransa Congo Niger
LIGI Kuu England inatarajiwa Kurejea mwezi Juni itakuwa ikionyeshwa live pia kwenye mtandao wa You Tube baada ya mabosi kukutana na kukubaliana kwamba mambo yote…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano