KUNA KISHINDO YANGA,KESHO NDANI YA SPOTIXTRA ALHAMISI
Kesho ndani ya SPOTIXTRA Alhamisi
Kesho ndani ya SPOTIXTRA Alhamisi
OFISA Habari wa Klabu ya Simba Haji Manara, amesema kuwa wachezaji wa Simba kwa sasa wakihojiwa na vyombo vya habari wanapaswa wazungumzie maisha yao binafsi…
HATIMAYE Ronaldinho nyota wa zamani wa Klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Brazil na kaka yake Assis wamepata dhamana na kutoka gerezani nchini…
OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba (C.E.O), Senzo Mazingisa, amesema kuwa ni mapema sana kufanya mgawanyiko juu ya ligi ifutwe ama iendelee kwani bado wanasubiri maamuzi…
OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United,amesema kuwa kuibuka kwa Virusi vya Corona kunaweza kuwa na faida kwao kuelekea kwenye dirisha la usajili. Kwa…
WAKATI baadhi ya majina ya wachezaji wakihusishwa na Simba, uongozi wa klabu hiyo umesema tayari umepokea mapendekezo ya benchi la ufundi linaloongozwa na Kocha Mbelgiji…
ABOUTWALIB Mshery, mlinda mlango wa Mtibwa Sugar kwa sasa hali yake inaendelea vizuri baada ya kupata matibabu.Nyota huyo alipata majeraha Februari 15 wakati timu yake…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hautakubali kumruhusu mchezaji wao yeyote kusepa iwapo Kocha Mkuu, Luc Eymael atahitaji saini yake ikiwa ni pamoja na Papy Tshishimbi.Kwa…
BARAKA Majogoro kiungo wa Polisi Tanzania saini yake imegeuka lulu kutokana na klabu nyingi kuelezwa kuitaka saini yake.Polisi Tanzania ipo chini ya Kocha Mkuu, Malale…