WAWILI, BABA NA MWANA NDANI YA AC MILAN WAGUNDULIKA NA CORONA
KIONGOZI wa benchi la ufundi la AC Milan ya Italia, Paolo Maldini mwenye umri wa miaka 51 na mwanaye Daniel anayekipiga timu ya vijana ndani…
KIONGOZI wa benchi la ufundi la AC Milan ya Italia, Paolo Maldini mwenye umri wa miaka 51 na mwanaye Daniel anayekipiga timu ya vijana ndani…
NA LUC EYMAEL KATIKA gazeti la Championi jana nilizungumzia mambo kadhaa kuhusiana na mpira wa Tanzania nikjaribu kulinganisha mambo kadhaa kutokana na uzoefu wangu katika…
UONGOZI wa Azam FC, umesema kuwa una mkataba mrefu na nyota wao Agrey Morris ambaye anakipiga ndani ya Azam FC. Beki huyo amekuwa akihusishwa kujiunga…
MAROUANE Fellaini, kiungo wa zamani wa Klabu ya Manchester United anayekipiga ndani ya Klabu ya Shandong Luneng ya China amegundulika na Virusi vya Corona.Nyota huyo…
SIMBA ikiwa nafasi ya kwanza na pointi 71 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck amekiongoza kikosi hicho kwenye mechi 18.Matokeo yake…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa iwapo tamko la Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) litaamua kuwazuia wachezaji waliovuka mipaka ya Tanzania kutokucheza mechi za Ligi…
WACHEZAJI na Viongozi wa timu ya Namungo FC ya Ruangwa inayotumia Uwanja wa Majaliwa wametimka Ruangwa na kuibukia Bongo ili kumalizia mapumziko ya muda yaliyotolewa…
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la SPOTIXTRA Jumapili, lipo mtaani nafasi ya kushinda ndinga ni yako
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba ameipoteza safu ya ushambuliaji ya Yanga kwa kufunga mabao mengi kuliko washambuliaji wanne wa Yanga kwenye mechi za Ligi Kuu…
ABDI Banda, nyota wa Tanzania anayekipinga ndani ya Klabu ya Highlands Parks ya nchini Afrika Kusini na inashiriki Ligi Kuu amesema kuwa aliogopa alipohisiwa kwamba…