WANAMICHEZO, WASANII VITA YA CORONA INATUHUSU, TUIOKOE JAMII YETU
NA SALEH ALLY SERIKALI imefikia uamuzi wa kusimamisha michezo kwa kipindi cha siku 30 kutokana na ugonjwa wa Corona. Ugonjwa huu umeitikisa dunia, karibu kila…
NA SALEH ALLY SERIKALI imefikia uamuzi wa kusimamisha michezo kwa kipindi cha siku 30 kutokana na ugonjwa wa Corona. Ugonjwa huu umeitikisa dunia, karibu kila…
NA LUC EYMAEL NINA uzoefu mkubwa na soka la Afrika kwa kuwa nimefundisha zaidi ya nchi tano na nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana. Ukisikia Kocha…
ABDUL Mingange, Kocha Mkuu wa Ndanda FC amesema kuwa kusimamishwa kwa Ligi Kuu Bara kwa muda wa mwezi mmoja kutawatoa wachezaji wake kwenye reli kutokana…
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Tottenham, Mauricio Pochettino amesema kuwa nyota anayekipiga ndani ya Inter Milan, Lautaro Martinez ni miongoni mwa washambuliaji wazuri dunaini kutokana na…
NADIR Haroub, Meneja wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amewataka wachezaji kuendelea kufanya mazoezi kipindi hiki cha mapumziko ya dharula kwa ajili ya…
NASORRO Mohamed nyota wa Tanzania anayekipiga kwenye Klabu ya OFK Zarkovo ya nchini Serbia inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza amesema kuwa kutokana na hofu ya…
KOCHA wa timu ya Tanzania Prisons, Adolf Rishard amesema mfumo wake kueleweka kwa wachezaji wake ni jambo lililokuwa linampa matokeo akiwa uwanjani. Prisons inaongoza kwa…
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa miongoni mwa vitu ambavyo vinaleta wasiwasi ndani ya ardhi ya Bongo ni kusambaa kwa virusi vya Corona.…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa kwa sasa wachezaji wanapaswa watulie na familia zao na kutoa elimu kuhusu Virusi vya Corona.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa…
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mchezo wake wa kwanza dhidi ya Singida United alishangazwa na mashabiki wake kwa kumpa zawadi ya fedha…