MSIMAMO WA LIGI KUU BARA BAADA YA NAMUNGO KUIBANA MBAVU YANGA
MSIMAO wa Ligi Kuu Bara upo namna hii baada ya Yanga kubanwa mbavu na Namungo
MSIMAO wa Ligi Kuu Bara upo namna hii baada ya Yanga kubanwa mbavu na Namungo
LEO ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa mwandishi anayechipukia taratibu kwa upande wa michezo Lunyamadzo Mlyuka. Kila la kheri na MUNGU akupe afya na Buasara…
MIRAJ Athuman,”Sheva’ kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa mashabiki wasiwe na mashaka ana imani atarejea uwanjani hivi karibuni kutokana na kuwa na maendeleo mazuri.Sheva aliumia…
CHARLES Ilanfya, mshambuliaji wa KMC leo ameifungia timu yake mabao mawili na kuipa pointi tatu timu yake wakati ikishinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Alliance…
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa sasa upo namna hii, ushindi wa Singida United umewaongezea namba ya pointi pale nafasi ya 20
NAMUNGO FC leo imeibana mbavu Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Majaliwa kwa kulazimsiha sare ya kufungana bao 1-1.Yanga ilianza kuinyoosha…
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amekasirishwa na mabao 37 yaliyofungwa na wachezaji wake ndani ya Ligi Kuu Bara na kuwataka washambuliaji wake wongeze…
LEO Uwanja wa Majaliwa, Namungo FC itaikaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utaikutanisha miamba hii inayotesa ndani ya tano bora na shughuli…
NYOTA wa timu ya Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya asijiunge na kikosi cha Yanga ambacho leo kitacheza mchezo wa Ligi Kuu Bara…