MSIMAMO WA LIGI KUU BARA BAADA YA MNYAMA KUTULIZWA TAIFA
MSIMAMO wa LIGI Kuu Bara baada ya Mnyama kupokea kichapo cha bao 1-0 mbele ya Yanga, Jana Machi 8,2020
MSIMAMO wa LIGI Kuu Bara baada ya Mnyama kupokea kichapo cha bao 1-0 mbele ya Yanga, Jana Machi 8,2020
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kilichowaponza kushindwa kusepa na pointi tatu jana Machi 8,2020 mbele ya Yanga ni kutokuwa makini kuzitumia nafasi walizotengeneza.Simba…
KICHAPO alichopokea Kocha Mkuu wa Manchester City Pep Guardiola cha mabao 2-0 mbele ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa…
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatatu ambalo ukinunua una nafasi ya kushinda ndinga mpya kabisa
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga leo ametenda kazi yake iliyomleta Bongo kwa kuifunga Simba bao 1-0 kwenye mchezo wa mzunguko wa pili uliochezwa Uwanja…
Uwanja wa Taifa: Yanga 0-0 SimbaKipindi cha kwanzaDakika ya 26 Jonas Mkude anaonyeshwa kadi ya njano Dakika ya 22 Erasto Nyoni anakwenda nje anaingia Kened Juma Dakika…
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya Simba, Machi 8, Uwanja wa Taifa
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza leo Machi 8, dhidi ya Yanga Uwanja wa Taifa
KIKOSI cha Simba kimeti a timu Uwanja wa Taifa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaochezwa leo, Machi 8…