ISHU YA KIONGOZI YANGA KUDAI KUIBIWA NA MASHABIKI WA COASTAL UNION IPO HIVI
UONGOZI wa Coastal Union ya Tanga umeandika waraka huu kwa mashabiki wao kuhusu tukio la Ofisa Uhamasishaji Antonio Nugaz kudai kuwa alitaka kuibiwa simu na…
UONGOZI wa Coastal Union ya Tanga umeandika waraka huu kwa mashabiki wao kuhusu tukio la Ofisa Uhamasishaji Antonio Nugaz kudai kuwa alitaka kuibiwa simu na…
FREDRICK Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa Yanga amesema kuwa wana sababu kubwa sita zinazowafanya washinde leo mbele ya Gwambina mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya…
CLATOUS Chama, kiungo ndani ya Simba amesema kuwa watapambana kufikia malengo waliyojiwekea ndani ya Simba kwa pamoja.Chama jana alikuwa miongoni mwa wachezaji wa kikosi kilichoshinda…
SERGE Gnabry alianza kuitungua Chelsea bao la kwanza dakika ya 51 na aliongeza la pili dakika ya 54 wakati timu ya Bayern ikishinda mabao 3-0…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la BETIKA lipo mtaani Bure kabisa
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa maandalizi ya mchezo wa leo dhidi ya Gwambiana FC yapo vizuri wanaamini watapata ushindi utakaowapa nafasi ya…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
GARY Neville, mchezaji wa zamani wa Manchester United amesema kuwa anaamini nyota wa Liverpool, Mohamed Salah anaweza kujiunga na timu za Barcelona ama Real Madrid…
ATUGA Manyundo, Kocha Mkuu wa Stand United amesema kuwa alikutana na kikosi bora cha Simba jambo lililomfanya ashindwe kupenya kwenye mikwaju ya penalti licha ya…
NAMUNGO FC jana imetinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine Mbeya.Hitimana Thiery,…