Latest Posts

VPL : SINGIDA UNITED 0-1 YANGA

Dakika ya 24 Morison anapiga kona inakoswa na MolingaDakika ya 23 Moris anachezewa rafu nje kidogo ya 18Dakika ya 22 Molinga anacheza fauloDakika ya 18…

MBELGIJI WA YANGA APEWA ONYO

Kamati ya Uendeshaji na usimamizi wa Ligi Kuu ya Tanzania (Kamati ya Saa 72) imetoa onyo kali kwa Kocha wa Yanga Luc Eymael kwa kufanya…

JESHI LA YANGA LIAKALOANZA LEO DHIDI YA SINGIDA UNITED

1-Metacha Mnata2-Juma Abdul3-Jaffary Mohamed4-Lamine Moro5-Said Juma Makapu6-Papy Tshishimbi7-Deus Kaseke8-Haruna Niyonzima9-David Molinga11-Mapinduzi Balama11-Bernard MorrisonAkibaFarouk ShikaloAdeyun Saleh AbdulAziz Makame BuiMrisho NgassaPatrick SibomanaAdam Stanley Yikpe Gislai

YANGA: TUTAREJESHA FURAHA ILIYOPOTEA

 ANTONIO Nugaz, Ofisa Uhamasishaji wa Yanga amesema leo timu yao itapambana kupata matokeo chanya mbele ya Singida United.Yanga iliyo chini ya Mbelgiji, Luc Eymael ilipoteza…

KAKOLANYA ALAMBA SHAVU SIMBA

KOCHA wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameonekana kuvutiwa zaidi na kiwango cha kipa Beno Kakolanya, hiyo ni baada ya kumpa shavu kipa huyo kuanza katika…