HALI MBAYA ILIYOMKUTA MEDDIE KAGERE BAADA YA MECHI NA UD SONGO – VIDEO
Kilichomtokea straika wa Simba, Meddie Kagere baada ya mechi na UD Songo.
Kilichomtokea straika wa Simba, Meddie Kagere baada ya mechi na UD Songo.
Mashabiki Yanga wakisherehekea kufuatia watani zao wa jadi Yanga kutupwa nje kunako mashindano ya CAF Champions League.
Ukurasa wa mbele wa gazeti la Championi leo Jumatatu
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa ushindi wao umebebwa na nguvu ya mashabiki ambao walijitokeza jana uwanja wa Chamazi.Azam FC jana ilipindua meza kibabe mbele…
Kauli ya Ofisa Habari wa Simba Haji manara baada ya kuondolewa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika leo na UD Songo.
RASMI leo Simba imetolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye mchezo wa marudio uliochezwa uwanja wa Taifa.Simba inatolewa na UD Songo kwa faida…
MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa kwa sasa hatua ya awali ukiwa ni wa marudo uwanja wa Taifa ni kati ya Simba na UD do Songo.Simba…
Na Saleh Ally BAADA ya timu kuwa zimecheza mechi mbilimbili tu, tayari kuna mshambuliaji ameshafunga mabao manne, ukiwa ni wastani wa mabao mawili kila mechi.…