Home Uncategorized LIVE: SIMBA 0-1 UD do SONGO

LIVE: SIMBA 0-1 UD do SONGO

0

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa kwa sasa hatua ya awali ukiwa ni wa marudo uwanja wa Taifa ni kati ya Simba na UD do Songo.

Simba ipo nyuma kwa bao 1-0 ambalo limefungwa na wapinzani wao dakika ya 14 kupitia kwa Luis Misquissone.

Dakika ya 25 Kagere alifunga bao, mwamuzi alisema ni la kuotea., mashabiki waliojitokeza Taifa ni wengi .