MENEJA WA MANCHESTER CITY AWEKA REKODI YA AINA YAKE
PEP Guardiola, Meneja wa Manchester City amekuwa wa kwanza msimu huu kuonyeshwa kadi ya njano kwa mameneja ambao wanafundisha Ligi Kuu England.Guardiola ameonyeshwa kadi hiyo…
PEP Guardiola, Meneja wa Manchester City amekuwa wa kwanza msimu huu kuonyeshwa kadi ya njano kwa mameneja ambao wanafundisha Ligi Kuu England.Guardiola ameonyeshwa kadi hiyo…
BAKARI Malima ‘Jembe Ulaya’ ambaye ni nyota wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo amezungumza na wachezaji wa kikosi hicho muda…
CHRISTOPHER Galtier, Meneja wa Lille amesema kuwa ameshangazwa na kitendo cha nyota wa kikosi hicho Nicolas Pepe kujiunga na Arsenal.Meneja huyo amesema kuwa Arsenal haikuwa…
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kitakachoanza leo dhidi ya Kenya kufunzu Chan.
KIKOSI cha Tanzanite kitakachoanza leo dhidi ya Eswatini COSAFA
WACHEZAJI wa Simba leo watapiga picha na mashabiki wao ambao wamenunua tikite za Platinum Plus pamoja na zile za Platinum katika hotel ya Serena.Zoezi hili…
OLE Gunnar Solskjaer, Meneja wa Manchester United amechagua jina la Ashley Young mwenye umri wa miaka 34 kuwa nahodha wa kikosi hicho.Beki huyo alikuwa mpambanaji…
MASHABIKI wa Yanga wanazidi kujitokeza kwa wingi leo uwanja wa Taifa kwa ajili ya kushuhudia burudani maalumu.Leo Yanga inahitimisha rasmi wiki ya Mwananchi ambapo watacheza…
WAYNE Rooney, nyota wa zamani wa Manchester United amesema kuwa malengo yake makubwa ni kuja kuwa Kocha wa kikosi cha United atakapostaafu Soka.United Kwa sasa…
INAELEZWA kuwa beki wa timu ya Simba, Juuko Murshid yupo mbioni kujiunga na klabu ya Wydad Casablanca kwa kandarasi ya miaka miwili.Nyota huyo anayekipiga timu…