Latest Posts

AJIBU, GADIEL WAPELEKWA MAMELODI SUNDOWNS

Wachezaji wapya wa Simba, Ibrahim Ajibu na Gadiel Michael watakutana na zali la kupelekwa katika Klabu ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini ambako timu hiyo…

KIPA MPYA YANGA AMTAJA YONDANI

Kipa mpya wa Yanga, Metacha Mnata, amefunguka kuwa anafurahi kupata nafasi ya kucheza timu moja na beki Kelvin Yondani kwa sababu ni mchezaji mkubwa na…

SIMBA YAGOMBANIWA NA WASAUZI

IMEBAINIKA kuwa wakati Simba ikitarajiwa kuondoka kwenda Afrika Kusini kuweka kambi Jumatatu ijayo, klabu kibao za Sauz zimeomba kucheza mechi za kirafiki na Simba itakapokuwa…

SERIKALI YAKERWA NA TFF, TAMKO LATOLEWA

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa rai yake kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Soka nchini TFF kumtimua kocha Emmanuel Amunike.Mwakyembe…

MSHAMBULIAJI SIMBA AMALIZANA NA TP MAZEMBE

Mshambuliaji wa zamani wa Simba na baadaye Aza FC, Ramadhan Singano, amejiunga na TP Mazembe ya Congo.Singano ambaye aliwahi kung’ara zaidi wakati akiwa Simba na…