Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

597 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

DIARRA ANA UGOMVI GANI NA KIBU DENNS?…INSPECTOR HAROUN AFUNGUKA HAYA

0
Miongoni mwa makipa mahiri Afrika kwa sasa ni Djigui Diarra anayeidakia Yanga na timu ya taifa ya Mali akisifika kwa ubora wa kuanzisha mashambulizi, pia...

YALIYOJIRI TFF A-Z SAKALA LA DUBE NA AZAM FC…ALIINGIA ANACHEKA AMETOKA...

0
Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka Zimbabwe, Prince Dube aliyeonekana kuwa na tabasamu usoni shauri lake dhidi ya waajiri wake limesikilizwa leo, Alhamisi na Kamati ya Sheria...

JOTO LA KARIAKOO DABI LAPANDA…YANGA WAPIGA MKWARA HUU MZITO…AMEFUNGUKA HAYA

0
Joto la Kariakoo Dabi linazidi kupanda ikiwa ni siku nne kwa sasa zinahesabiki kabla ya mchezo huo kuchezwa Uwanja wa Mkapa na kila timu...

MZIZE KUONDOKA YANGA…TIMU HII YA EPL YAWANIA SAINI YAKE…ZAHERA AINGILIA KATI

0
Kocha Mkuu wa Namungo FC, Mwinyi Zahera amesema kuwa iwapo mshambuliaji kinda wa Yanga SC, Clement Mzize amepata dili la kwenda Ulaya ni vyema...

MANDONGA:- “NAONA WAZI SIMBA IMECHOKA…AFANYA UTABIRI HUU WA MATOKEO

0
Karim Mandonga amefunguka kuwa yeye ni shabiki wa kutupwa wa Klabu ya Yanga SC na kuelekea mchezo wa Jumamosi dhidi ya Simba Sc kuwa utakuwa...

RASMI….INONGA AANZA KUAGA MDOGO MDOGO NDANI YA SIMBA….ISHU YAKE IKO HIVI..

0
Beki wa Simba SC, Henock Inonga ameacha maswali kwa baadhi ya mashabiki wa timu hiyo baada ya kuweka alama za ‘emoji’kwenye’ instagram story’ yake...

NYOTA WA BRAZIL AREJEA UWANJANI AKIWA NA MIAKA 58…MNAOSEMA SAIDO MZEE...

0
'Jobe, Fredy ni usajiri mbovu kwa @simbasctanzania , Saido umri umeenda'' - Mzee Mwenda Nyota wa zamani wa Brazil na mshindi wa kombe la Dunia...

AZIZ KI AWABURUZA MUDATHIR NA BACCA…AJISHINDIA MAMILION KUTOKA KWA WADHAMINI…IPO HIVI

0
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC, Stehpane Aziz Ki ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa Yanga kwa mwezi Machi. Aziz amewashinda beki...

STAA YANGA:- PACOME ANATUMIA NGUVU NYINGI…CHAMA ANATUMIA AKILI NYINGI…ANAMCHAMBUA HADI KIPA

0
Staa wa zamani wa Yanga, Idd Moshi, ameingia katika mjadala ambao umekuwa ukiendelea tangu msimu huu uanze kwa mashabiki kila mmoja akiwalinganisha kwa mtazamo...

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA AFCON…WAZIRI ATHIBITISHA…MIUNDOMBINU YA KISASA KUJENGWA

0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amewaomba Watanzania kuchangamkia fursa zitakazotokana na kuwa wenyeji wa Fainali za Mataifa ya...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS