Thursday, March 28, 2024
Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

544 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

NEYMAR KUTIMKIA MANCHESTER UNITED…MABOSI WAKAA MEZANI…ISHU NZIMA IKO HVI

0
Manchester United watachukua hatua kwa ajili ya mshambuliaji wa Paris-St Germain na Brazil Neymar, 31, iwapo dau la Qatari bid, linaloongozwa na Sheikh...

HUYU HAPA KIBOKO YA YANGA…INJINI YA MAGOLI AZAM FC…TISHIO KUBWA LIGI...

0
MZAWA Ayoub Lyanga anayekipiga ndani ya kikosi cha Azam FC ni mtambo wa mabao kutokana na kuhusika kwenye mabao mengi zaidi. Lyanga ameanza kikosi cha...

WAZIRI MKUU AWAPA SHAVU HILI YANGA MECHI NA RIVERS…ISHU NZIMA IKO...

0
Wakati homa ya mchezo wa Yanga dhidi ya Rivers ikizidi kupanda Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa Kassim ameiunga mkono kampeni ya kununua tiketi...

RAIS AL-NASSIR AJUTA KUMSAJILI RONALDO…”NIMEUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA

0
Cristiano Ronaldo, ambaye alijiunga na klabu ya Al-Nassr ya Saudi Arabia katikati ya msimu, ameendelea kuwa gumzo kwa mashabiki. Kulingana na jarida la El Desmarque,...

KAPOMBE NA CHAMA WAZAMISHA JAHAZI LA SIMBA…WYDAD WASONGA MBELE

0
Dakika 90 zimemalizika katika dimba la Mohamed V nchini Morocco kati ya Wydad AC dhidi ya miamba ya soka Tanzania, Simba SC huku Wydad...

NABI AWANYOOSHEA KIDOLE MAYELE,MUSONDA…ROBERTINHO AHAMISHIA NGUVU YANGA, AZAM

0
Good Morning Mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam April 28, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazeti ya leo Tanzania

MARIO BALLOTELI AMKATAA RONALDO HADHARANI…ISHU NZIMA IKO HIVI

0
Mjadala wa kumjua mchezaji gani ni bora zaidi kati ya miamba miwili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo sio wa kupata suluhisho leo wala kesho. Na...

WAKALA WA BALEKE AFICHUA KILA KITU…”SIDHANI KAMA ATABAKI SIMBA…ISHU NZIMA IKO...

0
Wakala wa Jean Baleke athibitisha kuwa; hafikirii mchezaji huyo atabaki Simba SC zaidi ya mkataba wake wa mkopo. Alisema: "Sidhani kama atabaki Simba. Aidha TP...

WATANZANIA WAFELI MTIHANI WA UWAKALA FIFA…AFAULU MMOJA TU…

0
Nassor Mjandari ndiye Mtanzania pekee aliyefaulu mtihani wa uwakala wa FIFA uliofanyika mwezi huu, wale ambao hawakufaulu wanayo nafasi ya kurudia mtihani wa pili utakaofanyia...

BARCELONA HALI TETE KIUCHUMI…WACHEZAJI WAGOMA…WANATAKA MISHAHARA YAO

0
Uongozi wa FC Barcelona umekumbana na kikwazo kutoka kwa mastaa wao baada ya kugoma kukatwa mishahara ili kupunguza bili ya mishahara ipatikane pesa ya...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS