AZAM WAJIFUA TUNISIA KWAAJILI YA YANGA
KOCHA Mkuu wa Azam, Youssouph Dabo ameridhishwa na kambi ya maandalizi ya msimu ya timu hiyo ‘Pre Season’ inayoendelea nchini Tunisia huku akitaka michezo mitano…
KOCHA Mkuu wa Azam, Youssouph Dabo ameridhishwa na kambi ya maandalizi ya msimu ya timu hiyo ‘Pre Season’ inayoendelea nchini Tunisia huku akitaka michezo mitano…
KLABU ya Singida Fountain Gate imefanya mabadiliko ya kambi yake ya mazoezi kujiandaa na msimu mpya wa mashindano. Awali klabu hiyo ilipanga kuweka kambi Tunisia.…
Simba imetangaza kwenda kuweka kambi nchini Uturuki huku Azam na Singida Fountain Gate zikiwa zinaenda wanaenda Tunisia. Dar es Salaam. Klabu ya Yanga imeamua kuendelea…
Klabu ya Yanga imeamua kuendelea kukomaa kufanya maandalizi ya msimu ujao hapa hapa nchini badala ya kwenda nje ya nchi kama ilivyo kwa timu zingine.…
Kikosi cha Simba SC kinatarajiwa kucheza michezo mitatu ya kirafiki ya Kimataifa ya kujipima nguvu nchini Uturuki, kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania…