“Mtalia Sana!” – Manqoba Atuma Onyo Kali Yanga Ikiichapa Coastal Union 4-1
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ametoa onyo kali kwa watu wanaotafuta madhaifu ya timu hiyo, akisisitiza kuwa wataishia kuvuna majuto kutokana na mafanikio ambayo…
Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ametoa onyo kali kwa watu wanaotafuta madhaifu ya timu hiyo, akisisitiza kuwa wataishia kuvuna majuto kutokana na mafanikio ambayo…
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, amesema kikosi chake bado kiko kwenye mchakato wa kujengwa na kuimarika zaidi, licha ya kuanza msimu kwa ushindi…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC, wameendeleza kasi yao ya ushindi baada ya kuipa kipigo kizito Coastal Union cha mabao…
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, leo wanashuka kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kuwakabili Coastal Union ya…
COASTAL Union leo inaingia kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Dar es Salaam ikiwa na kibarua kizito cha kuvunja mwiko na rekodi mbovu ya miaka…
Dar es Salaam. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, kesho Alhamisi wanatarajiwa kushuka katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, kusaka alama tatu…
Mbio za kuelekea taji la tano mfululizo la Ligi Kuu Bara kwa mabingwa watetezi, Yanga SC, sasa zimefikia hatua ya kukatwa shingo. Jana pale kwenye…