KOCHA MAMELODI AMCHANA MAYELE KISA VISA
Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rulani Mokwena amejibu tuhuma za mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele kuwa alinyimwa viza ya kuingilia Afrika Kusini wiki mbili zilizopita…
Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rulani Mokwena amejibu tuhuma za mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele kuwa alinyimwa viza ya kuingilia Afrika Kusini wiki mbili zilizopita…
Mabingwa wa African Football League, Mamelodi Sundowns wakiwa nyumbani Loftus Versfeld, Pretoria wamelazimishwa sare ya 0-0 dhidi ya vigogo wa Misri, Pyramids katika mchezo wa…
Usemi wa ‘fuata nyuki ule asali’ unaweza kutumika vyema kumuelezea kocha kipenzi cha mashabiki na wadau wengi wa soka barani Afrika, Rulani Mokwena ambaye hivi…
Mabingwa wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika Klabu ya Al Ahly ya Misri wameondolewa kwenye michuano ya African Football League baada ya kutoa…
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), Jumamosi lilichezesha droo ya michuano ya African Football League ambapo wawakilishi wa Tanzania, Simba wanatarajiwa kupambana na Al Ahly, huku…