Habari za Michezo
Habari za michezo

MAMELODI WABANWA MBAVU NA KINAMAYELE SHUGHULI ILIKUWA HIVI

Staff Desk December 11, 2023 12:18 pm

Mabingwa wa African Football League, Mamelodi Sundowns wakiwa nyumbani Loftus Versfeld, Pretoria wamelazimishwa sare ya 0-0 dhidi ya vigogo wa Misri, Pyramids katika mchezo wa tatu ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Pyramids

MSIMAMO KUNDI A

Sundowns (pointi 4)

TP Mazembe (4)

Nouadhibou (4)

Pyramids (4)

Shughuli ni pevu kundi A bado ni bichi, kuna tofauti ya alama SIFURI kati ya kinara na mshika mkia.

MASTAA YANGA : HERSI TULETEE HUYU BENCHIKHA AFUNGUKA WALIKIPATA BAADA YA KIPIGO KUTOKA KWA WYDAD

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply