YANGA JANJA NYINGI SANA WATUMIA MBINU HII
Wakati baadhi ya wachezaji wa Yanga ambao hawajaitwa timu zao za taifa wakitarajia kuondoka kesho Jumanne kwenda Algeria mabosi wa timu hiyo tayari umemtanguliza mmoja…
Wakati baadhi ya wachezaji wa Yanga ambao hawajaitwa timu zao za taifa wakitarajia kuondoka kesho Jumanne kwenda Algeria mabosi wa timu hiyo tayari umemtanguliza mmoja…
Kikosi cha Yanga kinachoendelea kujifua Avic Town, Kigamboni jijini Dar es Salaam kikijiandaa na mechi ya kwanza ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ugenini dhidi…
Klabu ya Zamalek itatuma maafisa wake nchini Algeria katika mchezo wa CR Belouizdad dhidi ya Yanga kwa ajili ya kuwafuatilia kwa karibu Pacome Zouzoua raiabwa…
Kiungo Mshambuliaji wa mabingwa watetezi Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans, Maxi Nzengeli, amewataka wachezaji wenzake katika timu hiyo kusahau ushindi mnono wa mabao 5-1…
Mshambuliaji wa Simba SC, Jean Baleke amefunga goli lake la 7 katika msimu huu wa Ligi Kuu ya NBC katika mechi dhidi ya Namungo FC…
Yanga iko kambini kwaajili ya maandalizi ya kukutana na watani wao wa jadi Simba, kiungo wao Maxi Nzengeli amepata mzuka wa aina yake haswa kutokana…
Yanga haipoi. Baada ya juzi Ijumaa kuichapa Singida Big Stars mabao 2-0 na kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, jana imekimbia haraka na…
Unaweza ukawa unajiuliza huyu Max Mpia Nzengeli hiki ambacho anakifanya Yanga ni kama vile mara yake ya kwanza ila hapana; huyu mwamba huu ni mwendelezo…
Kiungo wa Yanga, Maxi Nzengeli amefanya mapinduzi ndani ya kikosi baada ya kumpindua kama utani Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ ambaye usajili na hata utambulisho wake ulifunika,…
Kiungo fundi wa boli, Maxi Nzengeli alisema anaendelea kuizoea ligi ya Tanzania akitaka kuvunja rekodi aliyoanza nayo ya kufunga na kuasisti kwa timu hiyo iliyomsajili…