BAADA YA WANANCHI KUSHINDWA KUTAMBA….. HAYA LEO NI MTOKO WA WENYE NCHI
INGEKUWA ni kadi ya mnuso, ingesomeka; “Mashabiki bora wa AFL leo wanalialika Taifa kwenye Mtoko wa Kimataifa utakaofanyika saa 10 Jioni kwenye Uwanja wa Mkapa.…
INGEKUWA ni kadi ya mnuso, ingesomeka; “Mashabiki bora wa AFL leo wanalialika Taifa kwenye Mtoko wa Kimataifa utakaofanyika saa 10 Jioni kwenye Uwanja wa Mkapa.…
KWA mara ya kwanza kwenye soka la Tanzania, klabu za Simba na Yanga zinatengeneza historia kwa kucheza kwa pamoja hatua ya makundi ya Ligi ya…
Ikiwa imepita miezi kadhaa Wanayanga wakiwa na kumbukumbu mbaya baada ya kupoteza Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya USM Alger iliyokuwa chini ya Kocha Abdelhak…
ASEC Mimosas ya Ivory Coast, tayari ipo nchini kuwahi pambano la kwanza la Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Simba, lakini kabla…
YANGA wako Algeria na kesho watapambana na CR Belouizdad ya huko kwenye mechi ya kwanza ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika lakini huku nyuma…
Simba SC inatarajiwa kumkosa Aishi Manula kwenye mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Asec Mimosas katika Uwanja wa Mkapa saa 10:00…
Simba itaanza harakati zake za kuwania kuingia katika nafasi iliyozoea ya robo fainali kesho licha ya kwamba ubora wa kikosi hicho kwa siku za karibuni…
Beki kisiki wa Klabu ya Simba, Che Fondoh Malone Junior raia wa Cameroon amekiri kuwa wana mapungufu katika safu yao ya ulinzi ndiyo maana wamekuwa…
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia Clouds FM na shabiki wa Klabu ya Simba, Farhan Kihamu amehoji uwepo wa (utambulisho wa biashara) logo mbili…
Kuelekea kwenye mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas nyota wa Simba wamepewa zigo zito kuhakikisha wanapata matokeo chanya kwenye…