NAMUNGO WAJIPANGE MBELE YA SIMBA …… SIO KWA HASIRA
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba Ahmed Ally amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu baada ya kipigo cha mabao 5-1 dhidi…
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba Ahmed Ally amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu baada ya kipigo cha mabao 5-1 dhidi…
KLABU ya Simba SC imetangaza kuachana na Kocha wake Mbrazil, Roberto Oliveira Gonçalves do Carmo ‘Robertinho’ (63) baada ya miezi 10 tu kazini tangu alipowasili…
Mchambuzi wa soka nchini Yahaya Mohamed ‘Mkazuzu’, amesema Simba ilianza kuharibika baada ya Kibu Denis kuumia. Mkazuzu ametoa mtazamo wake huo alipokuwa akiuchambua mchezo wa…
Ngoma imekamilika kwa Simba kupoteza mchezo wa Kariakoo Dabi ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5 Yanga. Mabao ya Aziz KI, Max Nzengeli ambaye…
Mchambuzi wa soka Amri Kiemba, amesema kilichosababisha Simba washushiwe kipigo na Yanga ni baada ya Wekundu hao kuacha kuwaheshimu wapinzani wao. “Pamoja na Yanga kuwa…
Kikosi cha timu ya Yanga, leo kimeelekea jijini Tanga kwa ajili ya mchezo ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaochezwa keshokutwa…
LICHA ya kushinda bao 5-1, dhidi ya Simba, Kocha Mkuu amesema ushindi huo hauwezi kuamua kitu katika mbio za kuwania ubingwa na kutaka kushinda kila…
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wapinzani wao wa jadi Yanga SC kwa kushinda dabi waliyoipiga jana Novemba 5, 2023 na kuibuka…
Nahodha wa Timu ya Namungo, Jacob Massawe amesema licha ya Simba kuwa bora lakini wasitarajie mchezo mwepesi kutoka kwao kutokana na namna walivyokuwa na kiu…
Nahodha wa Simba SC, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ ameeleza eneo ambalo Yanga waliwazidi ujanja ni kwenye viungo. Tshabalala amesema, mwalimu aliwapa mpango wao mzuri na wao…