YANGA WAMUIBUA KOCHA TABORA UNITED….. JAMBO LAFIKA TFF ISHU NZIMA IKO HIVI
Kocha Mkuu wa Tabora United, Mserbia Goran Kopunovic amelalamikia kutopewa nafasi ya kuchezea uwanja wa nyumbani licha ya viongozi wa timu hiyo kutengeneza uwanja vizuri.…
Kocha Mkuu wa Tabora United, Mserbia Goran Kopunovic amelalamikia kutopewa nafasi ya kuchezea uwanja wa nyumbani licha ya viongozi wa timu hiyo kutengeneza uwanja vizuri.…
Klabu ya Mashujaa imekumbana na adhabu ya kutozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina baada ya mmoja wa…
Kupitia mitandao ya kijamii kumesambaa video ikionyesha shabiki aliyevaa jezi ya Yanga akishambuliwa na mashabiki waliovalia jezi za Simba katika Uwanja wa Mkapa. Mwanasheria wa…
Bondia wa ngumi za kulipwa Tanzania, @hassanmwakinyojr amemuombea msamaha Haji Manara kwa Kamati ya Nidhamu ya TFF kumsamehe adhabu yake. Manara amefungiwa miaka miwili kujihusisha…
Shirikisho la Soka nchini Tanzania ‘TFF’ limemzuia rasmi Kocha Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo, raia wa Senegal kusimama kwenye benchi la ufundi la timu…
Msemaji wa Klabu ya Yanga aliyefungiwa na TFF, Haji Manara amewakingia kifua wachezaji wa soka wenye mikataba binafsi na kusema kanuni za Shirikisho la mpira…
Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ limethibitisha kuwa Klabu ya Young Africans hadi sasa haijafanya usajili wa Michuano ya Kimataifa (Ligi ya Mabingwa Barani Afrika) msimu…
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa likiwa ndio mamlaka inayosimamia na kutoa vibali vya michezo ya soka nchini halijatoa kibali kwa ajili ya mashindano…