GAMONDI ATAMBA KUHUSU KIKOSI CHAKE AAHIDI MAKUBWA
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Miguel Gamondi amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutarajia mabadiliko zaidi ya uchezaji kwa timu yake…
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Miguel Gamondi amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutarajia mabadiliko zaidi ya uchezaji kwa timu yake…
Baada ya kutupia bao kwenye mchezo wa Kilele cha Wiki ya Mwananchi, Mshambuliaji Kennedy Musonda ametoa msimamo akisema ana kazi ngumu ya kufanya kwa vile…
Klabu ya Young Africans imemsajili Mshambuliaji Hafiz Konkoni raia wa Ghana kwa mkataba wa miaka miwili na inaelezwa ndio mbadala wa Fiston Mayele. Mshambuliaji huyo…
Aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Cedric Kaze, yupo njiani kutangazwa kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi la Namungo FC.…
Beki wa pembeni wa Klabu Bingwa Tanzania Bara Young Africans Nickson Kibabage, amesema anaamini kama wakishirikiana vizuri na wachezaji wenzake kikosini, wanaweza kuipa mafanikio makubwa…
KAMA vipi irudiwe! huwezi kusema neno lingine baada ya Yanga jana kufanikiwa kuonyesha kiwango kizuri ilipoichapa Kaizer Chief bao 1-0 kwenye mchezo wa kileleni cha…
Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limetangaza kufanyika kwa droo ya hatua ya awali kwa Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, Julai 25,…
Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki mbio za NBC Marathoni huku akisema kilele cha wiki ya Wananchi kimepita inayosubiriwa ni siku ya wenye Nchi. Jumamosi…
KILELE cha ‘Wiki ya Mwananchi’ kimehitimishwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa wenyeji Yanga kushinda bao 1-0 dhidi ya Kaizer Chiefs kutoka nchini Afrika Kusini.…
Kiungo Mkabaji mpya wa Simba SC, Abdallah Hamis ameshukuru mapokezi makubwa aliyoyapata ndani ya timu hiyo, huku akiahdi kubeba mataji yote watakayoshindania katika msimu ujao.…