Uncategorized

RIPOTI YA KOCHA RUVU SHOOTING YATUA MEZANI

admin June 15, 2019 7:03 am

UONGOZI wa Ruvu Shooting umesema kuwa umepokea ripoti ya kocha wa Ruvu Shooting, Ablumutik Haji hivyo kwa sasa wanaifanyia kazi taratibu.


Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa makosa waliyofanya msimu uliopita hayatajirudia tena hivyo lazima wakaze msimu wa mwaka 2019/2020.

“Tulifanya makosa kidogo msimu uliopita hayo yamepita na sasa tumegundua pale tulipokwama msimu ujao hatutakwama na ripoti imetua mezani tunaifanyia kazi,” amesema Bwire.
AMUNIKE: TUTAFANYA MAAJABU MISRI NAMUNGO KUSAJILI WACHEZAJI 20

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply