Uncategorized

KUMEKUCHA AZAM FC, NDAYIRAGIJE KUANZA NA HILI

admin June 17, 2019 6:08 am


KOCHA wa Azam FC, Etiene Ndayiragije amesema kuwa anahitaji kuboresha kikosi na hesabu zake ni kwenye kuongeza wachezaji wakali wenye uwezo.

Ndayiragije amelamba mkataba wa kuionoa Azam FC akichukua mikoba ya Hans Pluijm kwa kandarasi ya miaka miwili.

“Kutokana na malengo ambayo yapo kwa sasa kazi kubwa itakuwa ni kutengeneza kikosi imara, nina imani hilo linawezekana kutokana na uhitaji ambao upo hivyo kwa kuanza nitaanza na wachezaji kwanza kisha mengine yatafuta.

“Nikifanikiwa kuboresha kikosi itanifanya nifanye kazi kwa wepesi hasa ukizingatia ni timu kubwa na ina kila kitu, hilo linawezekana kikubwa sapoti kwa mashabiki,” amesema. 

KAKOLANYA AIBUKA NA KALI YA SIKU SIMBA KOCHA WA SADIO MANE ATOA KAULI YA KIBABE KWA STARS

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply