Uncategorized

VIDEO: KAKOLANYA AFUNGUKA SABABU ZA KUSAINI SIMBA, KUHUSU TAIFA STARS …….

admin June 27, 2019 9:05 pm


Aliyekuwa Golikipa wa Yanga na ambaye kwa sasa amesaini katika klabu ya Simba Beno Kakolanya amefunguka usajili wake Simba SC na kilichofanya amesaini katika klanbu hiyo.

Beno amesema kuwa Simba ni klabu Kubwa pia ina kikosi kizuri na ni timu ambayo imekubaliana nayo katika maslahi na kusaini.

Kakolanya amesaini katika klabu ya Simba hivi karibuni akitokea yanga ambapo alikua aitumikii timu yake kwa takribani nusu msimu na msimu ujao ataitumikia timu ya Simba SC.

MCHEZAJI MWINGINE AONDOKA SIMBA BABU AKATA MZIZI WA FITNA SIMBA NA YANGA – VIDEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply