Uncategorized

MCHEZAJI MWINGINE AONDOKA SIMBA

admin June 27, 2019 9:05 pm


Kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amewaaga mashabiki wa klabu ya Simba kwa muda wote waliokuwa nae akiwa na timu hiyo na sasa anaelekea klabu nyingine.

Taarifa zinadai uongozi wa Simba umegoma kumuongezea mktaba mchezaji huyo baada ya kushindwa kufikia makubaliano kwa pande zote mbili kwenye baadhi ya maeneo (ikiwemo fedha) nakumruhusu akatafute maisha sehemu nyingine kamamchezaji huru.

Haruna amesema muda ukifika atawajulisha niwapi anaelekea





AZAM YALETA CHANGAMOTO KWA SIMBA VIDEO: KAKOLANYA AFUNGUKA SABABU ZA KUSAINI SIMBA, KUHUSU TAIFA STARS …….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply