Uncategorized

AJIBU PASUA KICHWA, AWAZIMIA SIMU MABOSI WA TP MAZEMBE

admin June 28, 2019 11:33 am


UNAAMBIAWA TP Mazembe, bado wamemkomalia nyota wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye usajili wake uliingia doa kwa kushindwana kwenye malipo.

Wakala wa TP Mazembe, Patrick Mazembe amesema kuwa bado Mazembe wanahitaji huduma ya mchezaji huyo ambaye msimu wa 2018/19 alikuwa ni kinara wa pasi za mwisho TPL baada ya kutoa jumla ya pasi 17.

“Mwanzo Ajibu alitusumbua kwa kutaka dau kubwa, kwa sasa tumeamua kumfuata Bongo, ila ametuzimia simu hivyo jitihada za kumtafuta zinaendelea kama tutaelewana naye basi atatua Mazembe,” amesema.


Imeelezwa kuwa Ajibu amesaini mkataba wa awali ndani ya Simba kwa muda wa miaka miwili.

ADHABU YA WARDA WA MISRI, BADO INABAKI NA UJUMBE KWETU RASMI HARUNA NIYONZIMA AACHANA NA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply