Uncategorized

NAFASI YA HAJI MANARA SIMBA YAGOMBEWA KWA KASI YA KUTISHA

admin July 3, 2019 7:48 am

BAADA ya Simba kutangaza nafasi za kazi hivi karibuni kwa vitengo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kitengo cha Media Officer (Ofisa Habari), Chief Executive Officer (Mtendaji Mkuu), Technical Director (Mkurugenzi Ufundi) imeelezwa kuwa ya kitengo cha Habari inagombewa kwa kasi.


Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori amesema kuwa wengi sana wanaulizia habari ya kitengo cha Habari kilicho chini ya Haji Manara.

“Watu wanaendelea kutuma maombi ya kazi ila wengi wamejitokeza kuomba kazi kwenye kitengo cha Media Officer, nadhani wataendelea kufanya hivyo mpaka muda wa maombi utakapofungwa,” amesema.
COASTAL UNION YAMKOMALIA KIBA AZAM FC KUKWEA PIPA KESHO KUELEKEA RWANDA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply