Uncategorized

AJIBU AWATAKA SIMBA WATULIZE BOLI, MSIMU NI WAO

admin July 16, 2019 9:40 am


Nyota wa Simba, Ibrahim Ajibu amesema kuwa mashabiki wa Simba watulie watakubali mziki wake kwani amejipanga kufanya maajabu.

Ajibu ambaye msimu uliopita wa 2018-19 alikuwa kinara wa asisti ndani ya ligi akiwa nazo 17 na pia alitupia mabao sita kwa sasa ni mali ya Simba ambapo amesaini kandarasi ya
miaka miwili.

“Bado msimu haujaanza, utakuwa muda mzuri kwetu kujipanga vema kwa ajili ya msimu ujao.

“Kila kitu kwa sasa kipo freshi, natambua ushindani ni mkubwa na kila mmoja anataka kuonyesha uwezo hilo sina tatizo nalo ninaamini kila kitu kitakuwa sawa na mashabiki watapenda wenyewe,” alisema Ajibu ambaye alikataa ofa ya TP Mazembe hivi karibuni.

MWADUI FC WASHINDA VITA YA KUIPATA SAINI YA NYOTA WA MTIBWA SUGAR YONDANI AAHIDI MACHUNGU KWA WAPINZANI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply