Uncategorized

DOZI YA SIMBA AFRIKA KUSINI NI MOJA MARA MBILI

admin July 16, 2019 2:40 pm


UONGOZI wa Simba umesema kuwa dhamira kubwa ya kuweka kambi nchini Afrika Kusini ni kujiweka sawa kwa ajili ya msimu mpya wa mwaka 2019-20 unaotarajiwa kuanza Agosti 23.

Wakiwa Afrika Kusini wanafanya mazoezi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kujiweka sawa wakiwa maeneo ya Rustenburg, Afrika Kusini.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori amesema kuwa mipango ipo sawa na kambi inaendelea vizuri nchini Afrika Kusini.

HILI NDILO JESHI LA AZAM FC LINALOTOANA JASHO NA TP MAZEMBE LEO KAGAME AZAM FC V TP MAZEMBE JINO KWA JINO LEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply