Home Uncategorized HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021

HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021

0

 Timu ya Taifa ya Tanzania imeanzia hatua ya makundi ya kuwania kufuzu Fainali ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika nchini Cameroon.

Tanzania imepangwa kundi J ikiwa na timu zifuatavyo Tunisia, Libya na Equatorial Guinea.