Home Uncategorized HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021 Uncategorized HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021 By admin - July 18, 2019 0 Timu ya Taifa ya Tanzania imeanzia hatua ya makundi ya kuwania kufuzu Fainali ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika nchini Cameroon. Tanzania imepangwa kundi J ikiwa na timu zifuatavyo Tunisia, Libya na Equatorial Guinea.