Uncategorized

LIGT AUNGANA NA CR7 JUVENTUS, ASAINI MIAKA MITANO

admin July 18, 2019 7:41 am


Klabu ya Juventus imekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs de Ligt.

Beki huyo kutoka Ajax amekamilisha usajili huo kwa dau la euro, €75m.

De Ligt mwenye umri wa miaka 19 amesaini mkataba wa miaka mitano Juventus mkataba ambao utaisha June 2024.

MANCHESTER UNITED: HAKUNA OFA YA PAUL POGBA YANGA YATANGAZA MECHI NNE ZA MAAJABU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply