Home Uncategorized LIGT AUNGANA NA CR7 JUVENTUS, ASAINI MIAKA MITANO

LIGT AUNGANA NA CR7 JUVENTUS, ASAINI MIAKA MITANO

108
0


Klabu ya Juventus imekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs de Ligt.

Beki huyo kutoka Ajax amekamilisha usajili huo kwa dau la euro, €75m.

De Ligt mwenye umri wa miaka 19 amesaini mkataba wa miaka mitano Juventus mkataba ambao utaisha June 2024.