Uncategorized

DIDA: MANULA ALINIPA HASIRA YA KUPAMBANA

admin July 20, 2019 4:31 am

DEOGRATIUS Munish ‘Dida’ amesema kuwa kuwekwa kwake benchi na mlinda mlango namba moja wa Simba Aish Manula kulimuongezea hasira ya kupambana.

Dida kwa sasa ameachana na Simba baada ya kumaliza kandarasi yake ya mwaka mmoja alikuwa anawekwa benchi muda mwingi na Manula wakati alipokuwa Simba.

“Kazi ya kumpanga nani aanze haikuwa mikononi mwangu, kocha ndiye aliyekuwa anaamua hivyo sikuwa na jinsi.

“Hali hiyo iliniongezea hasira na kunifanya nipambane kwa kufanya mazoezi na ndio maana kwenye mechi za mwisho nilipewa nafasi baada ya kocha kukubali uwezo wangu,” amesema Dida.

KUMBE! CAF NDO CHANZO ZA VIPORO BONGO MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply