Uncategorized

MGOGORO WA ZIDANE NA BALE KUSHUSHA THAMANI YA MCHEZAJI

admin July 23, 2019 10:27 am


MGOGORO unaoendelea kati ya Meneja wa Real Madrid  Zinedine Zidane na mchezaji wake Gareth Bale umeelezwa kuwa unaidumisha thamani ya nyota huyo.

Zidane hivi karibuni alilipotiwa akimwambia mchezaji wake kuwa haitajiki ndani ya klabu hiyo na anapaswa kuondoka kwani hana nafasi.
Bale ambaye inatajwa kuwa kuna timu moja nchini China ambayo inamhitaji na inataka kumfanya awe mchezaji anayelipwa mkwanja mrefu inadaiwa imeanza kufifisha matumaini ya kumpata nyota huyo.
Rais wa Madrid, Florentino Perez imeripotiwa hakuwa na furaha kwani hapendi kuona migogoro ndani ya timu hiyo kwa kuwa anaamini itashusha thamani ya mchezaji wake na suala zima la kumpeleka nchini China linatazamiwa kuwa la malipo ya kodi nyingi.
WAARABU WA MISRI WAPIDUA MEZA KIBABE MBELE YA SIMBA KWA NYOTA HUYU MENEJA WA JUVENTUS AITAKA SAINI YA BEKI WA SPURS

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply