Uncategorized

YANGA WAANZA KUIWINDA TOWNSHIPP ROLLERS, LEO KUKINUKISHA DHIDI YA MLANDEGE

admin August 7, 2019 9:41 am


JESHI zima la Yanga kwa sasa lipo visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya kiamataifa ambapo Jumamosi watakuwa kazini kumenyana na Township Rollers uwanja wa Taifa.

Leo watakuwa kazini kumenyana na kikosi cha Mlandege FC majira ya saa 2:00 usiku.

Mwinyi Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya kuweka sawa kikosi kabla ya kuwavaa wapinzani wao kimataifa.

ARSENAL YAHAHA KUMPAMBANIA LACAZZETTE SIMBA YAWAANGUKIA MASHABIKI WAKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply