Uncategorized

SIMBA YAJIPA ANGALIZO KUELEKEA MCHEZO WA KIMATAIFA DHIDI YA UD SONGO

admin August 12, 2019 12:49 pm

MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba, ametoa tahadhari kwa wachezaji wenzake akisema kwamba hawatakiwi kuwachukulia kirahisi wapinzani wao UD do Songo.

Simba itamenyana na UD Songo kwenye mchezo wa marudio kati ya Agosti 23-25 jijini Dar baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Msumbiji.
Msimu uliopita kwenye michuano ya kimataifa, Kagere alitupia mabao sita ana kazi ya kufanya pamoja na wachezaji wake kwenye mchezo wa marudio ili kusonga mbele.

β€œKuelekea mchezo wa marudio tunatakiwa kuwa makini na kuchukulia kwa uzito mkubwa pambano ambalo tutachezwa kwani mashabiki pamoja na uongozi unahitaji matokeo,” amesema.
MRITHI WA MAKAMBO YANGA ATABIRIWA MAKUBWA , HIKI NDICHO KINACHOMPONZA ASHINDWE KUTAMBA ROLLERS: MUZIKI WA YANGA SIO WA KITOTO, TUNAJIPANGA KUPATA MATOKEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply