Home Uncategorized MBOSSO AFUNGUKA, ASEMA WCB NI PAGUMU, AELEZA DIAMOND NI TATIZO – VIDEO Uncategorized MBOSSO AFUNGUKA, ASEMA WCB NI PAGUMU, AELEZA DIAMOND NI TATIZO – VIDEO By admin - August 24, 2019 0 Mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka WCB, Mbosso Khan, anayetamba hivi sasa na ngoma yake ya MAAJAB, amefunguka kuhusiana na watoto wake ambao kwa sasa wamefikia wanne baada ya mmoja wa mwisho kuzaliwa siku chache zilizopita…