Uncategorized

KICHAPO CHA 1-0 KUTOKA RUVU CHAAMSHA MACHUNGU YANGA, UONGOZI WATOA TAMKO ZITO

admin August 28, 2019 9:27 pm

Baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara jana, uongoz wa klabu ya Yanga kupitia Ofisa Habari wake, Dismas Ten, umetoa tamko.

“Kuna wakati mpira wa miguu unakupa matokeo usiyoyatarajia, poleni wananchi wote kwa matokeo ya leo, tumepoteza mchezo ni kweli, inauma sana,  hatujatolewa kama wao, hii ni Ligi Kuu Vodacom (2019/20) na ndiyo kwanza inaanza.”

LEBO ZA KIMATAIFA, KIBA ANAKWAMA WAPI? MALINZI AOMBA KUNYWA SODA AKIJITETEA KISUTU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply