Uncategorized
SIMBA YAANZA NA USHINDI LIGI KUU VODACOM, KAGERE ATUPIA MBILI JKT WAKITWANGWA 3-1
admin
August 29, 2019
3:12 pm
Kikosi cha timu ya Simba kimefanikiwa kuanza ligi msimu huu kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKT Tanzania.
Mechi hiyo imepigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na mamia ya mashabiki wakijitokeza kwenye uwanja huo.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.