Uncategorized

MMOJA BADO HAIJAELEWEKA STARS

admin September 1, 2019 9:05 pm


Bado haijajulikana Mbwana Samatta atatua muda gani kwenye kikosi cha Taifa Stars lakini Farid Mussa na Himid Mao wameshawasili na wanapiga mzigo.

Simon Msuva na Hassan Kessy wanajiunga Stars moja kwa moja nchini Burundi tayari kwa mechi ya Jumatano kwenye Uwanja wa Prince Louis Rwagasore kuwania kufuzu Kombe la Dunia.

Danny Msangi, amesema; “Samatta yeye bado haijajulikana kama atajiunga na timu hapa Dar au ataunganisha Burundi kwa kuwa timu yake ina mechi Jumapili (leo) hivyo akimaliza majukumu hayo ndiyo itajulikana atajiunga na timu wapi.”

“Timu itaondoka Jumanne asubuhi na Ndege ya ATC,” alisema Msangi

RATIBA SIMBA YAVUNJWA MWINYI ZAHERA AAMUA KUFUNGUKA JUU YA KOCHA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply