Uncategorized

LIVE UPDATES PENALTI: AZAM 2-3 SIMBA

admin January 10, 2020 7:31 pm




Simba inatinga hatua ya fainali kwa ushindi wa penalti 3-2 walizopata Azam FC
Penalti ya tano kwa Azam inapigwa na Abarola,inaokolewa
Penalti ya tano kwa Simba inapigwa na Kagere inapanguliwa na Abarola
Penalti ya nne inapigwa na Ngoma anapaisha juu
Penalti ya nne inapigwa na Mkude inazamisha nyavuni
Penalti ya tatu inapigwa na Bruce Kangwa, anazamisha nyavuni
Penalti ya tatu inapigwa na Bocco inazama nyavuni
Penalti ya pili inapigwa na Kipagwile, inagonga mwamba
Penalti ya pili kwa Simba Shiboub anakataliwa na Abarola
Yakub anapiga kwa Azamisha nyavuni
Nyoni anapiga penalti ya kwanza, anauzamisha nyavuni

LIVE UPDATES NUSU FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: AZAM FC 0-0 SIMBA SIMBA WAMVAA KIPA AZAM FC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply