Uncategorized

AKILI ZA AZAM FC SASA ZIMEHAMIA HUKU, YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA MWADUI

admin January 20, 2020 5:38 am


UONGOZI wa Azam FC umesema kwa sasa unazipigia hesabu pointi tatu za Mwadui FC ya Shinyanga.

Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba iliifunga Yanga bao 1-0 Uwanja wa Taifa juzi, ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi zake 32 baada ya kucheza mechi 15.

Jana Azam FC ilianza mazoezi rasmi kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Januari, 22 Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.

 Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffary Maganga amesema kuwa wachezaji wapo vizuri wana imani watapata pointi tatu kwenye mchezo huo.

WAWILI WATWAA TUZO NDANI YA ALLIANCE YANGA YAWASHUKURU MASHABIKI YAWAITA NAMFUA JUMATANO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply