Uncategorized
AZAM FC V TANZANIA PRISONS KESHO TAIFA NI MOTO
AZAM FC, kesho Uwanja wa Taifa itakuwa na kazi ya kumenyana na Tanzania Prisons ya Mbeya kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.
AzaM FC itashuka Uwanjani ikiwa na kumbukumbu za kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya City Uwanja wa Samora Iringa huku Prisons ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa bao 1-0 mbele ya KMC.
Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ushindani ili kuzipata pointi tatu huku Adolf Rishard Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons amesema kuwa ana imani kazi itakuwa ngumu ila watapambana.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.