Uncategorized

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU KUFUNGA BAO LA KUOTEA

admin February 5, 2020 6:09 am


UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa wale ambao wanalalamika kwamba wamefunga bao la kuotea waripoti taarifa hiyo kituo cha Polisi wakiwa na maelezo kamili.

Ofisa Habari wa Simba Haji Manara kupitia Ukurasa wake rasmi wa Istagram ameandika namna hii:-


BETIKA MUONEKANO WAKE WA MBELE UPO NAMNA HII, JIPATIE NAKALA YAKO BURE KABISA MNAOCHIPUKIA MSIZIPE NAFASI PROPAGANDA ZA HUMUD WA MTIBWA SUGAR

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply