Uncategorized

HESABU ZA MZUNGU WA SIMBA KWA LIPULI LEO HIZI HAPA

admin February 15, 2020 10:37 am
  • SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wapo tayari kupambana na Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Samora ,Iringa dhidi ya Lipuli.

  • leo Februari 15, Simba itakaribishwa na Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa majira ya saa 10:00.

  • Sven amesema:-“Kila mchezaji yupo tayari kwa mchezo wa leo na tumejipanga kufanya vizuri kutokana na maandalizi ambayo tumeyafanya.

  • “Lazima tucheze kila mchezo kutokana na hali ambayo tutakutana na mchezo kwa kutafuta ushindi ambao utatufanya tupate ponti tatu muhimu,” amesema.

  • Simba ipo nafasi ya kwanza kwenye msimamo ikiwa na pointi 53 baada ya kucheza mechi 21.
    VITA YA MZUNGU NA MZAWA LEO UHURU NI BALAA SIMBA YAITUPA MBALI YANGA UBORA WA SOKA AFRIKA

    Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

    Leave a Reply