Uncategorized

HIVI HAPA VIGONGO VYA MOTO KWA SIMBA KABLA YA KUKUTANA NA YANGA

admin February 23, 2020 11:11 am
SIMBA ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara, Februari 25 wana kazi ya kumenyana na Stand United kwenye Uwanja wa CCM Kambarage.

ndani ya mwezi huu Februari kabla ya kukutana na Yanga ina dakika 270 za moto ambazo ni sawa na mechi tatu kabla ya kukutana na Yanga, Machi 8, Uwanja wa Taifa.

Ikimalizana na Stand United itarejea Dar, Machi 1, Simba itamenyana na KMC, Uwanja wa Taifa mchezo wa kwanza Simba ilishinda mabao 2-0.

 Azam FC itamenyana na Simba Machi 4 Uwanja wa Taifa, mchezo wa kwanza Simba ilishinda kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kwanza.
Machi 8 Simba itakutana na Yanga kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa Taifa mchezo wa kwanza Simba ililazimisha sare ya kufungana mabao 2-2.
MSIMAMO WA LIGI KUU BARA YANGA:TUNAZITAKA POINTI TATU ZA COASTAL UNION

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply