Uncategorized

BREAKING:KABLA YA KUWAVAA SIMBA, AZAM FC YAMUONDOA KIONGOZI WAO MMOJA

admin March 2, 2020 11:49 am


JAFFARY Maganga aliyekuwa Ofisa Habari wa Azam FC amebadilishiwa nafasi ya cheo chake.

Maganga ameondoka kwenye nafasi hiyo ikiwa imebaki siku moja kwa timu ya Azam FC kumenyana na Simba, mchezo unaotarajiwa kuchezwa Machi 4, Uwanja wa Taifa.

Akizungumza na Saleh Jembe, Maganga amesema kuwa kwa sasa hatokuwa Ofisa Habari wa Azam FC amebadilishiwa majukumu atabaki kuwa mwanafamilia wa Azam FC kwenye majukumu mengine.

“Leo, Machi 2, 2020 rasmi sitakuwa Ofisa Habari wa Azam FC kwani kampuni imenibadilishia majukumu na nitaendelea kuwa mwanafamilia wa Azam FC, naomba ushirikiano uendelee kuwepo kati ya huyo ambaye atakuja kwani sote ni ndugu,” amesema.

VIGOGO WALITOLEWA JASHO KWELI KOMBE LA FA NA TIMU ZA LIGI DARAJA LA KWANZA UKATA WAITESA MWADUI FC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply