Uncategorized
HUYU HAPA MWANAMICHEZO MWENZETU ALIYEGUNDULIKA NA CORONA TUMUOMBEE
admin
March 18, 2020
8:12 am
Isabella ni mwanamichezo mwenzetu ambaye amegundulika na ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Amesema kuwa kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kugundulika ana Corona, hivyo tumuombee apone haraka arejee kwenye ubora wake.
Inaelezwa kuwa huyu ndiye mgonjwa wa kwanza kungundulika kwenye ardhi ya Bongo.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.