Uncategorized

BEKI WA JUVENTUS RUGANI: SIKUWA NA DALILI ZA CORONA

admin March 19, 2020 4:42 pm


DANIELE Rugani, beki wa Juventus amesema kuwa hakuwa na dalili zozote za Virusi vya Corona licha ya vipimo kuonyesha kuwa ana Virusi hivyo.

Beki huyo wa Kati alionekana na Virusi hivyo ambavyo vinasambaa kwa kasi duniani na kusababisha mechi za Ligi Kuu Italia (Serie A) kusimamishwa kwa muda bado anasisitiza kuwa yupo fiti.

Nyota huyo mwenye miaka 25 amesema kuwa kupata Virusi hivyo kutamsaidia kuongeza ufahamu wake kuhusu Virusi hivyo.


 “Nipo fiti na nimekua poa sana sijawahi pata dalili za Corona ambazo mnazisoma kwenye habari. 

“Nilikuwa na bahati licha ya kupata Virusi hivyo nilikuwa wa Kwanza kuvipata kwenye mazingira yangu na matumaini yangu itaongeza ufahamu wangu,” .

MTIBWA SUGAR YAACHANA NA ISHU YA GHARAMA WALIZOTUMIA TANGA KINACHOIMALIZA MBAO FC NDANI YA LIGI CHAWEKWA BAYANA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply